Kuna mjadala mkubwa katika soko la usajili barani Ulaya baada ya ripoti mbalimbali kudai kuwa klabu ya Real Madrid haikumlenga kwa dhati mshambuliaji wa Atlético Madrid, Julián Álvarez, licha ya taarifa za awali kuhusisha ofa ya euro milioni 150 iliyodaiwa kutolewa.
Ofa hiyo ilikataliwa na Atlético Madrid, ambayo inaamini mchezaji huyo ni sehemu muhimu ya mipango yake ya muda mrefu...... download Xtra 90 App



