Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua, ameweka wazi kuwa amekumbana na changamoto kubwa ya majeraha msimu huu, hali iliyomlazimu kucheza baadhi ya mechi akiwa na maumivu makali ya goti.
Nyota huyo, anayejulikana kwa uwezo wake mkubwa wa kutengeneza na kufunga mabao, amesema kipindi hicho kilikuwa kigumu kwake, lakini sasa ameimarika na yuko tayari kuisaidia Yanga katika mechi..... download Xtra 90 App



