Pacome afunguka changamoto ya majeraha, atoa ahadi kwa Wananchi

Joel JJ By Joel JJ β€’ 19th June 2026


Pacome afunguka changamoto ya majeraha, atoa ahadi kwa Wananchi

Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua, ameweka wazi kuwa amekumbana na changamoto kubwa ya majeraha msimu huu, hali iliyomlazimu kucheza baadhi ya mechi akiwa na maumivu makali ya goti.

Nyota huyo, anayejulikana kwa uwezo wake mkubwa wa kutengeneza na kufunga mabao, amesema kipindi hicho kilikuwa kigumu kwake, lakini sasa ameimarika na yuko tayari kuisaidia Yanga katika mechi..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Shalulile awataka mashabiki wa yanga kutimiza majukumu yao , Ushindi si jukumu la wachezaji pekee
Shalulile awataka mashabiki wa yanga kutimiza majukumu yao , Ushindi si jukumu la wachezaji pekee
Today, READ MORE β†’
Shalulile awasili Dar es Salaam kuanza safari mpya Yanga
Shalulile awasili Dar es Salaam kuanza safari mpya Yanga
Today, READ MORE β†’
Kitambala akamilisha rasmi uhamisho wake AS FAR Morocco
Kitambala akamilisha rasmi uhamisho wake AS FAR Morocco
Today, READ MORE β†’
Wapinzani wa yanga siku ya Wananchi kujulikana kesho
Wapinzani wa yanga siku ya Wananchi kujulikana kesho
Today, READ MORE β†’
CAF Super Cup kupigwa Novemba 8 Pretoria
CAF Super Cup kupigwa Novemba 8 Pretoria
Today, READ MORE β†’
Vini aikata maini Arsenal, arejea mazoezini Real Madrid
Vini aikata maini Arsenal, arejea mazoezini Real Madrid
Today, READ MORE β†’
Shalulile kutua Dar leo, aandaliwa mapokezi makubwa
Shalulile kutua Dar leo, aandaliwa mapokezi makubwa
Today, READ MORE β†’
Magori amjibu Mangungu: β€œSimba inaongozwa na Katiba, si Magori, Mangungu wala Mo”
Magori amjibu Mangungu: β€œSimba inaongozwa na Katiba, si Magori, Mangungu wala Mo”
Today, READ MORE β†’
Simba SC yafanikisha zoezi la uchangiaji damu kuelekea Wiki ya Simba
Simba SC yafanikisha zoezi la uchangiaji damu kuelekea Wiki ya Simba
Today, READ MORE β†’
Droo hatua ya awali ligi ya mabingwa, Shirikisho (CAF) ni Alhamisi
Droo hatua ya awali ligi ya mabingwa, Shirikisho (CAF) ni Alhamisi
Today, READ MORE β†’