Misri yaitandika New Zealand 3-1 yakaribia kufuzu 32 bora

Joel JJ By Joel JJ • 22nd June 2026


Misri yaitandika New Zealand 3-1 yakaribia kufuzu 32 bora

Timu ya taifa ya Misri imeandikisha ushindi katika Kombe la Dunia 2026 baada ya kuichapa New Zealand mabao 3-1 katika mchezo wa Kundi G uliochezwa Vancouver.

Huo ulikuwa ushindi wa kwanza wa Misri katika historia ya mashindano hayo, na uliwapa uongozi wa kundi hilo kwa pointi nne.

New Zealand waanza kufunga

New Zealand walikuwa wa kwanza kupata bao kupitia beki Finn Surman,..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Yanga yazindua jezi za msimu 2026/27
Yanga yazindua jezi za msimu 2026/27
Today, READ MORE →
Yanga Day kupambwa na mchezo wa kimataifa dhidi ya Aigles du Congo
Yanga Day kupambwa na mchezo wa kimataifa dhidi ya Aigles du Congo
Today, READ MORE →
Rwegasira: Mashabiki wa Simba ndio silaha ya kupambana na jezi feki
Rwegasira: Mashabiki wa Simba ndio silaha ya kupambana na jezi feki
Today, READ MORE →
Jayrutty Investment yashukuru mashabiki wa Simba kwa mapokezi ya jezi mpya
Jayrutty Investment yashukuru mashabiki wa Simba kwa mapokezi ya jezi mpya
Today, READ MORE →
Fifa waomba radhi baada ya mradi kushindwa, nyaraka zavuja kuhusu “FIFA SUPER LEAGUE”.
Fifa waomba radhi baada ya mradi kushindwa, nyaraka zavuja kuhusu “FIFA SUPER LEAGUE”.
Today, READ MORE →
Yanga, Simba, Azam na Singida BS kufahamu wapinzani CAF leo
Yanga, Simba, Azam na Singida BS kufahamu wapinzani CAF leo
Today, READ MORE →
Yanga kuzindua Uzi mpya wa 2026-27 hii leo
Yanga kuzindua Uzi mpya wa 2026-27 hii leo
Today, READ MORE →
Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Today, READ MORE →
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Today, READ MORE →
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Today, READ MORE →