Kikosi cha Simba SC kimewasili mkoani Morogoro tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Mtibwa Sugar utakaopigwa kesho Jumatano kwenye Uwanja wa Jamhuri.
Wekundu wa Msimbazi wanatarajiwa kushuka dimbani wakiwa na lengo moja kuu, kuondoka na alama tatu muhimu ili kuendeleza presha katika mbio za kuwania ubingwa wa ligi msimu huu.
Mchezo huo ni wa raundi ya 28 ya ligi, na..... download Xtra 90 App



