Simba yawasili Morogoro tayari kuikabili Mtibwa Sugar

Joel JJ By Joel JJ β€’ 23rd June 2026


Simba yawasili Morogoro tayari kuikabili Mtibwa Sugar

Kikosi cha Simba SC kimewasili mkoani Morogoro tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Mtibwa Sugar utakaopigwa kesho Jumatano kwenye Uwanja wa Jamhuri.

Wekundu wa Msimbazi wanatarajiwa kushuka dimbani wakiwa na lengo moja kuu, kuondoka na alama tatu muhimu ili kuendeleza presha katika mbio za kuwania ubingwa wa ligi msimu huu.

Mchezo huo ni wa raundi ya 28 ya ligi, na..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Yanga yafafanua taarifa ya kufungiwa na FIFA
Yanga yafafanua taarifa ya kufungiwa na FIFA
Today, READ MORE β†’
Henry David apewa mkataba Singida BS
Henry David apewa mkataba Singida BS
Today, READ MORE β†’
Neo Maema arejea Mazoezini Simba SC
Neo Maema arejea Mazoezini Simba SC
Today, READ MORE β†’
Chelsea wakamilisha usajili wa Pep Chavarria, Huku wakihitajika kupunguza idadi ya wachezaji.
Chelsea wakamilisha usajili wa Pep Chavarria, Huku wakihitajika kupunguza idadi ya wachezaji.
Today, READ MORE β†’
Selemani Mwalimu arejea rasmi Wydad AC baada ya kumaliza mkopo Simba SC
Selemani Mwalimu arejea rasmi Wydad AC baada ya kumaliza mkopo Simba SC
Today, READ MORE β†’
Simba yaialika Polisi FC Kenya kunogesha Simba Day ya miaka 90
Simba yaialika Polisi FC Kenya kunogesha Simba Day ya miaka 90
Today, READ MORE β†’
Vini Jr aongeza mkataba wa miaka sita Real Madrid hadi 2032
Vini Jr aongeza mkataba wa miaka sita Real Madrid hadi 2032
Today, READ MORE β†’
CECAFA Kagame Cup 2026 kufikia tamati leo kwa fainali na mchezo wa mshindi wa tatu
CECAFA Kagame Cup 2026 kufikia tamati leo kwa fainali na mchezo wa mshindi wa tatu
Today, READ MORE β†’
Mossi atua MC Alger
Mossi atua MC Alger
Today, READ MORE β†’
Yanga yapigwa marufuku ya usajili na FIFA
Yanga yapigwa marufuku ya usajili na FIFA
Today, READ MORE β†’