Je, tuwape heshima yao au wachukue kwa nguvu?

Jairo Mtitu By Jairo Mtitu β€’ 23rd June 2026


Je, tuwape heshima yao au wachukue kwa nguvu?

Hilo ndilo swali kubwa linalozungumzwa na mashabiki wa Yanga kuelekea mchezo muhimu dhidi ya Azam FC katika Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar.

Baada ya Azam kuichapa Yanga SC kwaΒ  mabao 3-2 kwenye nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank, wengi ndani ya kambi ya Wananchi wameanza kujiuliza kama wapinzani wao wanastahili kupewa heshima zaidi kuliko ilivyokuwa hapo awali.

Azam wameonyesha kuwa si timu ya kubeza tena, wakijivunia kikosi kipana na kocha Florent Ibenge ambaye anaingia uwanjani bila presha kubwa.

Kwa upande wa Yanga, matumaini makubwa yamebaki kwa nyota kama Maxi Nzengeli, Pacome, Abuya na Okello kuhakikisha historia ya mchezo uliopita haijirudii. Sasa macho yote yataelekezwa New Amaan Complex kuona kama Yanga watachukua tahadhari zaidi dhidi ya Azam au wataingia kwa nguvu wakiamini ubora wao unaweza kuamua mchezo.

Swali linasalia palepale; je, Azam wanapaswa kupewa heshima yao au Yanga wawachukulie kama wapinzani wa kawaida?


  

More Stories

DARESSALAAMDERBY | β€œSisi siyo timu ya kuweka vichwa chini...” – Ally Kamwe
DARESSALAAMDERBY | β€œSisi siyo timu ya kuweka vichwa chini...” – Ally Kamwe
Today, READ MORE β†’
Maresca Mguu Sawa Man City
Maresca Mguu Sawa Man City
Today, READ MORE β†’
Je, tuwape heshima yao au wachukue kwa nguvu?
Je, tuwape heshima yao au wachukue kwa nguvu?
Today, READ MORE β†’
Simba watamba kuvuna alama mbele ya Mtibwa Sugar, Barker akihitaji ushindi wa lazima
Simba watamba kuvuna alama mbele ya Mtibwa Sugar, Barker akihitaji ushindi wa lazima
Today, READ MORE β†’
Yanga, Azam zatambiana kuelekea kesho
Yanga, Azam zatambiana kuelekea kesho
Today, READ MORE β†’
JS Kabylie Waachana na Ecua Celestine, Hatma yake na Yanga kujadiliwa
JS Kabylie Waachana na Ecua Celestine, Hatma yake na Yanga kujadiliwa
Today, READ MORE β†’
Ali Kamwe aahidi kumaliza hadithi za Azam FC Zanzibar
Ali Kamwe aahidi kumaliza hadithi za Azam FC Zanzibar
Today, READ MORE β†’
Mganga wa Ghana atishia kumlaani Mshambuliaji Harry Kane kabla ya mechi yao dhidi ya England
Mganga wa Ghana atishia kumlaani Mshambuliaji Harry Kane kabla ya mechi yao dhidi ya England
Today, READ MORE β†’
 Lumumba Vea Shabiki aliebadili dakika 90 kuwa Historia ,  Atua Marekani
Lumumba Vea Shabiki aliebadili dakika 90 kuwa Historia , Atua Marekani
Today, READ MORE β†’
Serengeti Girls yawinda taji la CECAFA dhidi ya Uganda
Serengeti Girls yawinda taji la CECAFA dhidi ya Uganda
Today, READ MORE β†’