Timu ya Taifa ya Wanawake ya Uganda chini ya umri wa miaka 17 (U-17) imeandika historia mpya baada ya kutwaa ubingwa wa Mashindano ya CECAFA U-17 Womenβs Championship 2026, mafanikio ambayo yameonyesha maendeleo makubwa ya soka la wanawake nchini humo na ukanda wa Afrika Mashariki na Kati.
Uganda ilionyesha kiwango cha juu cha ushindani katika mashindano hayo, ikiwashinda wapinzani wake..... download Xtra 90 App



