Colombia imejiweka katika nafasi nzuri ya kutinga hatua ya mtoano ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya DR Congo katika mchezo mkali wa Kundi K uliopigwa kwenye Uwanja wa Estadio Akron, Guadalajara, Mexico.
Matokeo hayo yanaweza kuonekana ya kawaida kwenye karatasi, lakini uhalisia wa dakika 90 ulikuwa tofauti kabisa. Colombia ililazimika kupambana hadi..... download Xtra 90 App



