Nahodha wa Ureno, Cristiano Ronaldo, amerejea kwa kishindo katika Kombe la Dunia 2026 baada ya kufunga mabao mawili na kuiongoza Ureno kuibuka na ushindi mnono wa mabao 5-0 dhidi ya Uzbekistan.
Ronaldo, ambaye amekuwa akikosolewa na baadhi ya wadau wa soka kuhusu umri wake na uwezo wa kuendelea kucheza katika kiwango cha juu, alitoa jibu uwanjani kwa kuonyesha ubora wake mbele ya lango...... download Xtra 90 App



