Fainali kombe la CRDB kupigwa Gombani, Pemba

Joel JJ By Joel JJ β€’ 24th June 2026


Fainali kombe la CRDB kupigwa Gombani, Pemba

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza tarehe ya mchezo wa fainali kombe la CRDB kati ya Simba dhidi ya Azam Fc.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TFF mapema leo, mchezo huo sasa utapigwa Julai 04 kwenye uwanja wa Gombani, Pemba visiwani Zanzibar.

Simba na Azam Fc zilitinga fainali baada ya kushinda mechi zao za nusu fainali. Simba iliichapa Coastal Union mabao 4-0 wakati Azam Fc ikiichapa Yanga mabao 3-2


  

More Stories

Fainali kombe la CRDB kupigwa Gombani, Pemba
Fainali kombe la CRDB kupigwa Gombani, Pemba
Today, READ MORE β†’
Yanga Yaichapa Azam FC 3-0, Yaendelea Kuongoza Mbio za Ubingwa.
Yanga Yaichapa Azam FC 3-0, Yaendelea Kuongoza Mbio za Ubingwa.
Today, READ MORE β†’
Simba wavuna alama tatu kibabe mbele ya Mtibwa sugar, Joto la ubingwa likiendelea.
Simba wavuna alama tatu kibabe mbele ya Mtibwa sugar, Joto la ubingwa likiendelea.
Today, READ MORE β†’
Yanga 3-0 Azam Fc, Ligi Kuu
Yanga 3-0 Azam Fc, Ligi Kuu
Today, READ MORE β†’
Mtibwa Sugar 0-3 Simba, Ligi Kuu
Mtibwa Sugar 0-3 Simba, Ligi Kuu
Today, READ MORE β†’
Jangwani Kumekucha , Tarehe ya uchaguzi hadharani
Jangwani Kumekucha , Tarehe ya uchaguzi hadharani
Today, READ MORE β†’
Leo Tunaharibu mipango Yao ; KIFARU
Leo Tunaharibu mipango Yao ; KIFARU
Today, READ MORE β†’
Wachezaji wa Burkina Faso wapigwa msasa wa uzalendo jeshini
Wachezaji wa Burkina Faso wapigwa msasa wa uzalendo jeshini
Today, READ MORE β†’
Xabi Alonso Apata Usajili Wake wa Kwanza, ni Marco Palestra
Xabi Alonso Apata Usajili Wake wa Kwanza, ni Marco Palestra
Today, READ MORE β†’
Yanga, Azam Mikononi mwa Arajiga
Yanga, Azam Mikononi mwa Arajiga
Today, READ MORE β†’