Timu ya taifa ya Ivory Coast imeandika ukurasa mpya katika historia yake baada ya kufuzu hatua ya 32 bora ya Kombe la Dunia 2026 kwa mara ya kwanza, kufuatia ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya CuraΓ§ao katika mchezo wa mwisho wa Kundi E uliopigwa Philadelphia Stadium.
Ushindi huo uliiwezesha Ivory Coast kumaliza nafasi ya pili katika kundi hilo kwa pointi sita nyuma..... download Xtra 90 App



