Tunataka Ushindi TU , Moalin

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said β€’ 26th June 2026


Tunataka Ushindi TU , Moalin

Kocha Mkuu wa Yanga, Abdihamid Moalin, amesema kikosi chake kipo tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya TRA United utakaochezwa Juni 27, akisisitiza kuwa lengo lao ni kupata ushindi huku wakiwaheshimu wapinzani wao.

Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kuelekea mchezo huo, Moalin alisema maandalizi yamekamilika na wachezaji wanafahamu umuhimu wa mechi hiyo..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Alvares arejea Madrid baada mapumziko, Barcelona bado inamtaka
Alvares arejea Madrid baada mapumziko, Barcelona bado inamtaka
Today, READ MORE β†’
TFF yazindua mfumo wa kununua tiketi kidigitali
TFF yazindua mfumo wa kununua tiketi kidigitali
Today, READ MORE β†’
Gwalala aanza kazi TRA United
Gwalala aanza kazi TRA United
Today, READ MORE β†’
Infantino mambo yanazidi kuwa magumu FIFA
Infantino mambo yanazidi kuwa magumu FIFA
Today, READ MORE β†’
Rashford aanza maisha upya Manchester United
Rashford aanza maisha upya Manchester United
Today, READ MORE β†’
Fei Toto aibuka kidedea tuzo ya mchezaji bora Zanzibar
Fei Toto aibuka kidedea tuzo ya mchezaji bora Zanzibar
Today, READ MORE β†’
Simba, Yanga sasa kuoneshana kazi Zanzibar, Ngao ya Jamii
Simba, Yanga sasa kuoneshana kazi Zanzibar, Ngao ya Jamii
Today, READ MORE β†’
Yanga yapigwa na Les Aigles Du Congo Yanga Day
Yanga yapigwa na Les Aigles Du Congo Yanga Day
Today, READ MORE β†’
Yanga yatangaza kuwaongeza mastaa mikataba
Yanga yatangaza kuwaongeza mastaa mikataba
Today, READ MORE β†’
Kamwe kuongoza shamrashamra za utambulisho Yanga
Kamwe kuongoza shamrashamra za utambulisho Yanga
Yesterday, READ MORE β†’