Kocha Mkuu wa Yanga, Abdihamid Moalin, amesema kikosi chake kipo tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya TRA United utakaochezwa Juni 27, akisisitiza kuwa lengo lao ni kupata ushindi huku wakiwaheshimu wapinzani wao.
Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kuelekea mchezo huo, Moalin alisema maandalizi yamekamilika na wachezaji wanafahamu umuhimu wa mechi hiyo..... download Xtra 90 App



