International,Normal News,Fifa, German, WC2026, Football, Infantino

Mtazamo wako ni upi juu ya tukio ili ?

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said
26 Jun 2026
Mtazamo wako ni upi juu ya tukio ili ?

Picha zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii zimemweka Rais wa FIFA, Gianni Infantino, kwenye mjadala baada ya kuonekana akiwa katika viwanja viwili tofauti vya Kombe la Dunia 2026 kwa muda unaodaiwa kufanana. Picha moja ilimuonyesha akiwa NRG Stadium mjini Houston wakati wa mchezo wa Ujerumani, huku nyingine ikimuonyesha Lincoln Financial Field mjini Philadelphia kwenye mchezo ambao Ivory Coast iliifunga Curaçao bao 1-0, jambo lililozua utani na maswali kutokana na umbali wa zaidi ya kilomita 2,000 kati ya miji hiyo.

Ingawa hakuna uthibitisho kwamba Infantino alikuwa viwanja vyote viwili kwa wakati mmoja, picha hizo zimeendelea kuzua mijadala kuhusu ratiba ya viongozi wa FIFA na namna picha zinavyoweza kupotosha muktadha kwenye mitandao ya kijamii.

Wewe unaamini ni mkanganyiko wa muda wa picha ?mbinu ya mawasiliano ya FIFA ? Au una maelezo mengine kuhusu tukio hili?

More Stories

Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
3h ago
READ MORE →
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
5h ago
READ MORE →
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
7h ago
READ MORE →
Rasmi: João Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: João Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
9h ago
READ MORE →
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
9h ago
READ MORE →
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
10h ago
READ MORE →
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
12h ago
READ MORE →
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
15h ago
READ MORE →
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
22h ago
READ MORE →
Wapinzani wa Simba, Mighty Wanderers kutua nchini leo wakitokea Malawi
Wapinzani wa Simba, Mighty Wanderers kutua nchini leo wakitokea Malawi
1d ago
READ MORE →