Timu ya Taifa ya Ghana imepoteza kwa mabao 2-1 dhidi ya Croatia katika mchezo wa mwisho wa Kundi L wa Kombe la Dunia 2026, lakini matokeo hayo hayakuzuia Black Stars kutinga hatua ya 32 bora kama moja ya timu bora zilizomaliza nafasi ya tatu.
Croatia ilianza vyema mchezo na kupata bao la kuongoza kupitia Petar Sui, kabla Ghana haijasawazisha kupitia Derrick Luckassen. Hata hivyo, dakika..... download Xtra 90 App



