Argentina imeendeleza rekodi yake nzuri katika Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Jordan katika mchezo wa Kundi J, huku nyota wake Lionel Messi akifunga bao lake la sita la mashindano hayo na kuendelea kuandika historia ya soka duniani.
Mechi hiyo iliyopigwa mjini Dallas ilianza kwa Argentina kutawala mchezo mapema kupitia mabao ya Giovani Lo Celso..... download Xtra 90 App



