Safari ya Afrika Kusini katika Kombe la Dunia la FIFA 2026 imefikia tamati kwa maumivu makubwa baada ya kufungwa bao 1-0 na Canada katika hatua ya 32 bora. Bao pekee la mchezo lilifungwa na Stephen EustΓ‘quio katika dakika ya 92, likiwavusha Canada kwenda hatua ya 16 bora kwa mara ya kwanza katika historia ya Kombe la Dunia kwa wanaume.
Mchezo huo ulikuwa wa ushindani mkubwa, huku Bafana..... download Xtra 90 App



