Taharuki Yazuka kabla ya kuelekea kwenye Mchezo wa mtoano kati ya Mexico dhidi ya Ecuardo.

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media β€’ 30th June 2026


Taharuki Yazuka kabla ya kuelekea kwenye Mchezo wa mtoano kati ya Mexico dhidi ya Ecuardo.

Kumeibuka taharuki kuelekea mchezo muhimu wa hatua ya 32 bora ya Kombe la Dunia 2026 kati ya Mexico na Ecuador, baada ya mamia ya mashabiki wa Mexico kukusanyika nje ya hoteli inayofikia timu ya taifa ya Ecuador wakipiga honi za magari, tarumbeta, spika na kuimba nyimbo usiku kucha.

Taarifa zinaeleza kuwa baadhi ya wachezaji wa Ecuador walionekana wakichungulia madirishani kuona..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Jean Baleke: Nikipigiwa simu na Simba niko tayari kurudi
Jean Baleke: Nikipigiwa simu na Simba niko tayari kurudi
Today, READ MORE β†’
Kocha wa yanga amwaga sifa kwa Juma Mgunda asema ni Kocha mzuri
Kocha wa yanga amwaga sifa kwa Juma Mgunda asema ni Kocha mzuri
Today, READ MORE β†’
Mngqithi: Tuna imani tutapata matokeo mazuri dhidi ya Namungo
Mngqithi: Tuna imani tutapata matokeo mazuri dhidi ya Namungo
Today, READ MORE β†’
Bursaspor yamkomalia Oura, yaongeza dau
Bursaspor yamkomalia Oura, yaongeza dau
Today, READ MORE β†’
Akaminko atua Al-Akhdar ya Libya
Akaminko atua Al-Akhdar ya Libya
Today, READ MORE β†’
JKT Tanzania yamnasa Chikola, yampa miaka miwili
JKT Tanzania yamnasa Chikola, yampa miaka miwili
Today, READ MORE β†’
Pazia la ligi kuu 2026/27 linafunguliwa leo
Pazia la ligi kuu 2026/27 linafunguliwa leo
Today, READ MORE β†’
Mkude kuibukia Mashujaa Fc
Mkude kuibukia Mashujaa Fc
Today, READ MORE β†’
Azam yakamilisha usajiri wa kitasa kutoka CongoDR
Azam yakamilisha usajiri wa kitasa kutoka CongoDR
Today, READ MORE β†’
Ligi kuu Tanzania Bara kurejea Kesho Kwa Mechi Tatu Kuchezwa
Ligi kuu Tanzania Bara kurejea Kesho Kwa Mechi Tatu Kuchezwa
Yesterday, READ MORE β†’