"Kama wanasema lile goli la Tah sio goli halali basi hata Arsenal wasingekuwa mabingwa EPL kwa kuwa 60% ya magoli yao ni namna ile " - KLOPP
Kauli ya Jurgen Klopp imezua mjadala mkubwa miongoni mwa wadau wa soka duniani kuhusu matumizi ya teknolojia ya VAR katika michezo mikubwa, huku maoni yakigawanyika kufuatia uamuzi wa kukataliwa kwa bao la Jonathan Tah.





