Kiungo mshambuliaji wa Yanga SC, Allan Okello, ameandika historia ya kipekee baada ya kutwaa ubingwa wa ligi katika nchi mbili tofauti ndani ya msimu mmoja wa 2025/26.
Okello alianza msimu akiwa na Vipers SC ya Uganda, ambapo alisaidia timu hiyo kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Uganda kabla ya kuhamia Yanga SC katikati ya msimu. Akiwa nchini Tanzania kwa takribani miezi saba, ameendelea..... download Xtra 90 App



