Okello aandika historia kwa ubingwa nchi mbili msimu mmoja

Jairo Mtitu By Jairo Mtitu β€’ 1st July 2026


Okello aandika historia kwa ubingwa nchi mbili msimu mmoja

Kiungo mshambuliaji wa Yanga SC, Allan Okello, ameandika historia ya kipekee baada ya kutwaa ubingwa wa ligi katika nchi mbili tofauti ndani ya msimu mmoja wa 2025/26.

Okello alianza msimu akiwa na Vipers SC ya Uganda, ambapo alisaidia timu hiyo kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Uganda kabla ya kuhamia Yanga SC katikati ya msimu. Akiwa nchini Tanzania kwa takribani miezi saba, ameendelea kung'ara na kuisaidia Yanga kutwaa ubingwa wa NBC Premier League.

Mafanikio hayo yanamfanya Okello kujinyakulia medali mbili za dhahabu za ubingwa katika msimu mmoja, jambo linalothibitisha kiwango chake bora na mchango mkubwa kwa timu alizozitumikia.

Huu pia ni ubingwa wake wa kwanza wa ligi kuutwaa nje ya Uganda, hatua inayoongeza mafanikio makubwa katika maisha yake ya soka.


  

More Stories

Azam yaiwahi Simba Pemba .
Azam yaiwahi Simba Pemba .
Today, READ MORE β†’
Kampeni Yanga ; Slogan Mwakani Tena
Kampeni Yanga ; Slogan Mwakani Tena
Today, READ MORE β†’
Chamou Karaboue : Asanteni Simba
Chamou Karaboue : Asanteni Simba
Today, READ MORE β†’
Leo kombe la Dunia 2026; Hatua ya mtoano, mechi tatu za kibabe kupigwa
Leo kombe la Dunia 2026; Hatua ya mtoano, mechi tatu za kibabe kupigwa
Today, READ MORE β†’
Simba yaweka nguvu fainali kombe la CRDB
Simba yaweka nguvu fainali kombe la CRDB
Today, READ MORE β†’
Liverpool yamnasa mrithi wa Konate
Liverpool yamnasa mrithi wa Konate
Today, READ MORE β†’
KMC Ya Shukuru Mashabiki na Kuahidi Kurejea Ligi kuu Karibuni .
KMC Ya Shukuru Mashabiki na Kuahidi Kurejea Ligi kuu Karibuni .
Today, READ MORE β†’
Okello aandika historia kwa ubingwa nchi mbili msimu mmoja
Okello aandika historia kwa ubingwa nchi mbili msimu mmoja
Today, READ MORE β†’
Yanga yathibitisha Pacome kufanyiwa upasuaji Hospitali ya Agha Khan
Yanga yathibitisha Pacome kufanyiwa upasuaji Hospitali ya Agha Khan
Today, READ MORE β†’
Mbappe Aizonga Rekodi Ya Messi Kombe la Dunia
Mbappe Aizonga Rekodi Ya Messi Kombe la Dunia
Today, READ MORE β†’