Uongozi wa JKT Tanzania pamoja na mchezaji wao Hassan Wahabi wamemtembelea kiungo wa Yanga SC, Pacôme Zouzoua, aliyepata jeraha wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania uliochezwa Juni 30, 2026 katika Uwanja wa Meja Jen Isamuhyo, Dar es Salaam.
Ziara hiyo ya dharura ilifanyika hospitalini kwa lengo la kutoa pole, kumjulia hali na kumtia moyo nyota huyo wa Yanga SC baada ya kuumia..... download Xtra 90 App



