Klabu ya Fountain Gate FC ipo katika hatua za mwisho kukamilisha uhamisho wa kinda wake anayechipukia kwa kasi, Juma Abushiri maarufu kama ‘Chuga’ (18), kuelekea nchini Ubelgiji kujiunga na klabu ya KRC Genk.
Mchezaji huyo anayetajwa kuwa miongoni mwa vipaji bora vya kiungo mshambuliaji nchini Tanzania, yupo kwenye hatua za mwisho za kukamilisha taratibu za usafiri na makubaliano ya..... download Xtra 90 App



