MAGORI : Hizi ndiyo njia zetu , Ligi zikiwa za haki

Abdulrahman Said By Abdulrahman Said β€’ 4th July 2026


MAGORI : Hizi ndiyo njia zetu , Ligi zikiwa za haki

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba SC, Crescentius Magori, amesema klabu hiyo imerejea kwenye njia ya ubingwa baada ya kutwaa taji la CRDB Federation Cup leo, akieleza kuwa mafanikio hayo ni ishara ya maendeleo ambayo timu imeyapata msimu huu.

Akizungumza mara baada ya ushindi huo, Magori amesema Simba imefanikiwa kufikia moja ya malengo yake kwa kutwaa kombe hilo, huku akisisitiza kuwa kikosi hicho kimeonyesha uwezo mkubwa katika mashindano yote kilichoshiriki msimu huu.

"Simba imerejea kwenye njia ya ubingwa, tumebeba kombe hili la CRDB, lakini kama ligi ingekuwa ya haki, msimu huu tungebeba makombe yote mawili," alisema Magori.

Kauli hiyo imeibua mjadala miongoni mwa wadau wa soka nchini kutokana na madai yake kuhusu mwenendo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, huku ikija wakati Simba ikihitimisha msimu kwa kutwaa taji la CRDB Federation Cup na kuongeza idadi ya makombe yake katika historia ya mashindano hayo.


  

More Stories

Morroco wafuzu Robo fainali kombe la dunia 2026, Akiwaondoa wenyeji Canada
Morroco wafuzu Robo fainali kombe la dunia 2026, Akiwaondoa wenyeji Canada
Today, READ MORE β†’
MAGORI : Hizi ndiyo njia zetu , Ligi zikiwa za haki
MAGORI : Hizi ndiyo njia zetu , Ligi zikiwa za haki
Today, READ MORE β†’
Mtazamo wako ni upi kufuatia kadi nyekundu ya Feisal Salumu
Mtazamo wako ni upi kufuatia kadi nyekundu ya Feisal Salumu
Today, READ MORE β†’
Tukutane Kesho Airport , Paredi Ipo : Ahmed Ally
Tukutane Kesho Airport , Paredi Ipo : Ahmed Ally
Today, READ MORE β†’
Simba mabingwa CRDB FEDERATION CUP , Azam wakijinyonga Wenyewe
Simba mabingwa CRDB FEDERATION CUP , Azam wakijinyonga Wenyewe
Today, READ MORE β†’
Pilato fainali ya Simba na Azam Hadharani
Pilato fainali ya Simba na Azam Hadharani
Today, READ MORE β†’
Barker na Ibenge wakutana kimya, vita uwanjani leo
Barker na Ibenge wakutana kimya, vita uwanjani leo
Today, READ MORE β†’
Cape Verde yafa kiume mbele ya Argentina, yafungwa 3-2
Cape Verde yafa kiume mbele ya Argentina, yafungwa 3-2
Today, READ MORE β†’
Mafarao wafanikiwa kuandika historia kombe la dunia 2026, wakiwatoa nje Australia
Mafarao wafanikiwa kuandika historia kombe la dunia 2026, wakiwatoa nje Australia
Yesterday, READ MORE β†’
Jumba la maajabu laiponza Yanga, yatozwa faini Tsh Milioni 100
Jumba la maajabu laiponza Yanga, yatozwa faini Tsh Milioni 100
Yesterday, READ MORE β†’