Taarifa rasmi kutokea ndani ya Azam fc inaelezwa kuwa tayari Timu hiyo imekamilisha usajiri wa wachezaji wawili ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea msimu wa 2026-27 .
Kupitia taarifa hiyo ni kuwa Azam imekwisha kamilisha sajili za mawinga hatari ambao ni Enock Molia kutokea St Lupopo ya Dr Congo pia ikimrejesha Kipre jr akitokea Mc Alger.
Kupitia taarifa hiyo pia Inaeleza kuwa Timu hiyo itaenda kuachana na wachezaji kadhaa wa kimataifa ili kupata maingizo mapya kikosini , ikumbukwe Azam itashiriki michuano ya kombe la shirikisho msimu ujao .



