Steve Barker: mwakani nataka paredi kubwa zaidi na makombe yote ikiwezekana

Jairo Mtitu By Jairo Mtitu β€’ 6th July 2026


Steve Barker: mwakani nataka paredi kubwa zaidi na makombe yote ikiwezekana

Kocha Mkuu wa Simba SC, Steve Barker, amesema lengo lake kwa msimu ujao ni kuona klabu hiyo ikifanya makubwa zaidi kwa kutwaa makombe yote yanayoshindaniwa ndani na nje ya Tanzania.

Barker amesema anatamani paredi ya msimu ujao iwe kubwa zaidi kuliko ilivyokuwa mwaka huu, jambo litakalowezekana endapo Simba itafanikiwa kushinda mataji yote ya ndani huku ikiweka mkazo mkubwa katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Amesisitiza kuwa Simba haitaridhika na mafanikio ya sasa pekee, bali itaendelea kujijenga ili kushindana kwa kiwango cha juu barani Afrika, akieleza kuwa ndoto yake ni kuiletea klabu heshima kubwa zaidi kupitia mafanikio ya kimataifa.


  

More Stories

Rais Samia Suluhu Hassan amtembelea Pacome Hospitalini leo
Rais Samia Suluhu Hassan amtembelea Pacome Hospitalini leo
Today, READ MORE β†’
Pablo Franco Martinez aandika historia Morocco, MAS Fez watwaa ubingwa baada ya miaka 41
Pablo Franco Martinez aandika historia Morocco, MAS Fez watwaa ubingwa baada ya miaka 41
Today, READ MORE β†’
Simba Sc yaweza kutumia Kagame Cup kama pre-season Magori atoa maelezo
Simba Sc yaweza kutumia Kagame Cup kama pre-season Magori atoa maelezo
Today, READ MORE β†’
Mshahara wangu wa kwanza nlimjengea Mama nyumba - Kibwana
Mshahara wangu wa kwanza nlimjengea Mama nyumba - Kibwana
Today, READ MORE β†’
Azam FC wamrejesha Kipre Jr kutoka MC Alger
Azam FC wamrejesha Kipre Jr kutoka MC Alger
Today, READ MORE β†’
Steve Barker: mwakani nataka paredi kubwa zaidi na makombe yote ikiwezekana
Steve Barker: mwakani nataka paredi kubwa zaidi na makombe yote ikiwezekana
Today, READ MORE β†’
England yaiondoa Mexico Kombe la Dunia, sasa kuvaana na Norway robo fainali
England yaiondoa Mexico Kombe la Dunia, sasa kuvaana na Norway robo fainali
Today, READ MORE β†’
Norway waandika historia kwenye kombe la dunia 2026
Norway waandika historia kwenye kombe la dunia 2026
Today, READ MORE β†’
Braut Halland aiteketeza Brazil na kuitupa Nje WC2026
Braut Halland aiteketeza Brazil na kuitupa Nje WC2026
Today, READ MORE β†’
Azam yacharuka, haraka yakamilisha sajili za winga hatari
Azam yacharuka, haraka yakamilisha sajili za winga hatari
Today, READ MORE β†’