Maghreb Association Sportive de Fès (MAS Fez) imerudi kileleni mwa soka la Morocco baada ya kutwaa ubingwa wa Botola Pro, ikiwa ni mara yao ya kwanza kushinda taji hilo baada ya miaka 41 ya kusubiri.
Timu hiyo ya jiji la Fès inayonolewa na kocha wa zamani wa Simba Pablo Franco, imefanikiwa kutwaa ubingwa wa tano katika historia yake, ikiwa imeshinda mataji ya awali mwaka 1965, 1979,..... download Xtra 90 App



