Mabingwa watetezi Argentina wamekata tiketi ya kucheza robo fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Misri katika mchezo wa hatua ya 16 bora uliochezwa Jumanne mjini Atlanta.
Misri ilianza mchezo kwa kasi na kuwashangaza mabingwa hao wa dunia baada ya Yasser Ibrahim kufunga bao la kuongoza katika dakika ya 15. Licha ya Argentina kutawala umiliki wa..... download Xtra 90 App



