Azam FC imeendelea kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu mpya wa mashindano baada ya kukamilisha usajili wa beki wa kati raia wa Ubelgiji, Henri Braham Stanic, akitokea Stellenbosch FC ya Afrika Kusini.
Beki huyo mwenye umri wa miaka 23 anatarajiwa kuongeza ushindani na uimara katika safu ya ulinzi ya matajiri hao wa Chamazi, ambao wameweka wazi dhamira yao ya kufanya vizuri katika Ligi..... download Xtra 90 App



