Kapteni wa Taifa Stars, Mbwana Samatta, ametangaza rasmi kustaafu kuitumikia timu ya taifa ya Tanzania, akihitimisha safari yake ya miaka mingi ya kulitumikia taifa akiwa mmoja wa wachezaji walioacha alama kubwa katika historia ya soka la Tanzania.
Kupitia ujumbe aliouchapisha, Samatta amewashukuru Watanzania kwa sapoti waliompa katika kipindi chote alichovaa jezi ya Taifa Stars, akieleza..... download Xtra 90 App



