Nahodha wa TRA United, Nasri Kombo, ameitwa mezani na uongozi wa klabu hiyo kwa mazungumzo ya mwisho kuhusu mustakabali wake, huku akihusishwa kwa karibu na uhamisho wa kwenda Yanga SC katika dirisha hili la usajili.
Taarifa zinaeleza kuwa Kombo tayari amefanya mazungumzo chanya na Yanga, jambo lililoifanya TRA United kuongeza juhudi za kumbakisha kwa kuandaa ofa mpya inayodaiwa kuwa..... download Xtra 90 App



