Afisa habari wa Bodi ya Ligi kuu Tanzania bara, Yahya Abushehe amethibisha kuwa siku chache kutokea sasa bodi ya ligi itatoa ratiba kuelekea msimu wa 2026-27 .
Amesema hayo hii Leo na kueleza kuwa ratiba hiyo Timu za Simba na Yanga ni sehemu ya Timu zitakazo cheza mechi zake saa saa 8 Mchana .
" Muda wowote kutoka sasa ratiba itakuwa tayari , kama sio wiki hii basi mwanzoni mwa wiki..... download Xtra 90 App



