Timu ya Mbeya city imefanikiwa kurejea ligi kuu Tanzania bara mara baada ya kuibuka mshindi wa jumla katika mechi za playoff dhidi ya Tanzania Prison.
Mbeya city inafikia hatua hiyo baada ya kuiduiza Tanzania Prison mchezo wa kwanza mabao mawili kwa sifuri kabla ya mchezo wa pili hii Leo kutamatika kwa Suluhu baina ya Timu hizo .
Ushindi huo wa jumla unaifanya Mbeya city kuwa sehemu..... download Xtra 90 App



