Kocha wa zamani wa Yanga, Pedro Goncalves, yuko kwenye hatua za mazungumzo na klabu ya AS FAR ya Morocco kwa ajili ya kuwa kocha mkuu wa timu hiyo.
Taarifa zinaeleza kuwa AS FAR imeanza mchakato wa kumpata kocha mpya baada ya kuachana na Alexandre Santos kufuatia kushindwa kufuzu kwa michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao. Timu hiyo ilimaliza nafasi ya nne katika msimamo wa Ligi..... download Xtra 90 App



