Kiungo na nahodha wa Newcastle United, Bruno Guimarães, ameripotiwa kuufahamisha uongozi wa klabu hiyo kuwa anataka kuondoka mwishoni mwa msimu na kujiunga na mabingwa wa Ligi Kuu England, Arsenal. Taarifa hizo zikieleza kuwa Arsenal wameongeza juhudi za kumfuatilia nyota huyo wa Brazil.
Arsenal wanadaiwa kuwa tayari kuwasilisha ofa ya pauni milioni 60 kwa ajili ya kumsajili Guimarães,..... download Xtra 90 App



