Fc Barcelona imepiga hatua kubwa katika harakati za kumsajili kiungo mshambuliaji wa Borussia Dortmund, Karim Adeyemi, baada ya kufikia makubaliano binafsi na mchezaji huyo, huku mazungumzo kati ya klabu hizo mbili kuhusu ada ya uhamisho yakiendelea.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa waandishi nguli wa masuala ya usajili Fabrizio Romano na Gerardo Romero, Adeyemi ameonyesha wazi kuwa..... download Xtra 90 App



