Leo macho ya dunia ya soka yataelekezwa kwenye pambano kubwa la robo fainali ya Kombe la Dunia kati ya Ufaransa na Morocco, ambapo mshindi atakata tiketi ya kucheza hatua ya nusu fainali.
Mchezo huo utakaopigwa saa 5 usiku kwa saa za Afrika Mashariki, unawakutanisha vigogo wawili ambao wameonyesha kiwango cha juu katika mashindano haya. Ufaransa imeingia kwenye robo fainali ikiwa na safu..... download Xtra 90 App



