Chelsea imethibitisha rasmi kumsajili winga kijana wa Kireno, Geovany Quenda, kutoka Sporting Lisbon, huku nyota huyo mwenye umri wa miaka 18 akisaini mkataba wa muda mrefu utakaomuweka Stamford Bridge hadi mwaka 2034.
Quenda anawasili Chelsea akiwa mmoja wa vipaji vinavyotajwa kuwa na mustakabali mkubwa zaidi barani Ulaya. Ripoti zinaeleza kuwa usajili wake umegharimu takribani euro..... download Xtra 90 App



