Timu ya Taifa ya Ufaransa imefuzu hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Morocco, katika mchezo wa robo fainali uliochezwa kwa ushindani mkubwa. Les Bleus walitumia ubora wao kipindi cha pili kumaliza ndoto za Atlas Lions na kuendelea na safari ya kutafuta taji lingine la dunia.
Baada ya kipindi cha kwanza kumalizika bila mabao,..... download Xtra 90 App



