Ratiba ya makundi michuano ya Cecafa Kagame Cup imechezwa hii Leo nchini Rwanda ambapo wawakilishi pekee wa Tanzania katika mashindano hayo Simba na Singida Black stars wakipangwa pamoja kundi B , sambamba na Timu za Jamus ya Sudan na Mogadishu city ya Somalia.
Kwa upande wa kundi A linaundwa na Timu za APR , Vipers , Gor Mahia na Garne Republicane huku kundi C likiundwa na Al Hilal..... download Xtra 90 App



