Kiungo mshambuliaiiji wa Singida Black Stars, Ndumumwe Mossi amechaguliwa kuwa mchezaji Bora wa mwezi Juni wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa mwaka 2025/26, huku Abdihamid Moalin wa Young Africans akichaguliwa Kocha Bora wa ligi hiyo kwa mwezi huo.
Mossi na Moalin wametwaa tuzo hizo baada ya uchambuzi uliofanywa na kikao cha Kamati ya Tuzo za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Jumatatu..... download Xtra 90 App



