Klabu ya Simba SC inaendelea kuimarisha mipango yake ya usajili kuelekea msimu wa 2026/27, huku ikitajwa kuwa kwenye hatua nzuri za kukamilisha dili la winga wa Sekhukhune United ya Afrika Kusini, Keletso Makgalwa.
Taarifa kutoka Afrika Kusini zinaeleza kuwa Simba ni miongoni mwa klabu zinazomfuatilia kwa karibu mshambuliaji huyo wa pembeni, ambaye ameibuka kuwa mmoja wa wachezaji..... download Xtra 90 App



