Macho ya mashabiki wa soka duniani yataelekezwa jijini Miami, Marekani, wakati Norway na England zitakapokutana katika mchezo wa robo fainali ya Kombe la Dunia 2026, huku kila upande ukiwa na ndoto ya kufuzu hatua ya nusu fainali.
Huu ni mchezo unaobeba uzito mkubwa kwa pande zote mbili. England inatafuta kuendelea na safari yake ya kuwania taji la dunia, wakati Norway imeandika historia..... download Xtra 90 App



