Klabu ya Simba SC inaendelea na harakati za kukiimarisha kikosi chake kuelekea msimu mpya, huku ikitajwa kuwa katika hatua za mwisho kukamilisha usajili wa beki wa kati raia wa Ivory Coast, Serge Badjo.
Taarifa kutoka kwenye duru za usajili zinaeleza kuwa mazungumzo ya kumpata beki huyo yamefikia hatua za mwisho, huku ushawishi wa kocha mkuu Steve Barker ukitajwa kuwa sehemu muhimu katika..... download Xtra 90 App



