Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Kibu Denis, huenda akafanya uhamisho mwingine mkubwa ndani ya miezi sita tangu ajiunge na Al-Nasr SC ya Libya baada ya klabu ya CR Belouizdad ya Algeria kuwasilisha ofa rasmi ya dola za Marekani 400,000 (zaidi ya Sh bilioni 1.05) kwa ajili ya kumsajili.
Kwa mujibu wa taarifa za ndani ya dirisha la usajili, Al-Nasr wamepokea ofa hiyo lakini bado..... download Xtra 90 App



