Klabu ya Fenerbahçe ya Uturuki imepiga hatua kubwa katika harakati za kumsajili mshambuliaji wa kimataifa wa England, Mason Greenwood, baada ya kufikia makubaliano ya awali na klabu yake ya sasa, Olympique de Marseille, kuhusu uhamisho wa nyota huyo.
Kwa mujibu wa taarifa za soko la usajili, Fenerbahçe imekubali kulipa ada ya uhamisho ya takribani €40 milioni pamoja na nyongeza ya..... download Xtra 90 App



