Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia, ametangaza kufutwa kwa kanuni iliyokuwa ikiziruhusu timu wageni kufanya mazoezi ya mwisho kwenye uwanja wa mechi kabla ya siku ya mchezo. Amesema kuanzia sasa utaratibu huo utatumika tu pale timu itakapokuwa inacheza kwenye uwanja husika kwa mara ya kwanza.
Karia amesema mabadiliko hayo yanalenga kuboresha uendeshaji wa..... download Xtra 90 App



