Uwanja wa Dallas leo unakuwa kitovu cha macho ya dunia wakati miamba miwili ya soka, Hispania na Ufaransa, itakapokutana katika nusu fainali ya Kombe la Dunia 2026 kusaka tiketi ya kuingia kwenye mchezo wa mwisho wa mashindano.
Huu si mchezo wa kawaida. Ni vita ya falsafa mbili tofauti za soka; Hispania yenye mpira mwingi, pasi nyingi na kizazi kipya chenye vipaji, dhidi ya Ufaransa yenye..... download Xtra 90 App



