Local,Transfer News,YangaSC,

Yanga yaendelea kujiweka sawa, yavuta kiungo Alphonce Mabula Msanga

Jairo Mtitu By Jairo Mtitu
β€’
15 Jul 2026
Yanga yaendelea kujiweka sawa, yavuta kiungo Alphonce Mabula Msanga

inaendelea na mchakato wa kukiimarisha kikosi chake kuelekea msimu wa 2026/27, huku moja ya maeneo yanayopewa kipaumbele ikiwa ni kuongeza idadi ya wachezaji wazawa kulingana na mahitaji ya usajili.

Taarifa zinaeleza kuwa mabosi wa klabu hiyo wako kwenye mazungumzo na kiungo wa Taifa Stars, Alphonce Mabula Msanga, wakilenga kumrejesha nchini baada ya kucheza soka la kulipwa nje ya Tanzania kwa miaka kadhaa.

Yanga inavutiwa na uwezo wa Mabula wa kucheza nafasi ya kiungo mkabaji, huku ikiamini uzoefu wake wa kimataifa unaweza kuongeza ushindani na uimara katika safu ya kiungo. Inaelezwa kuwa Mabula kwa sasa ni mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba wake na klabu ya Shamakhi FK ya Azerbaijan.

Fursa hiyo imeifanya Yanga kuharakisha mazungumzo, hasa ikizingatiwa kuwa kiungo huyo yupo nchini kwa mapumziko ya mwisho wa msimu. Ingawa hakuna taarifa rasmi kutoka pande zote mbili, mazungumzo yanaendelea na inaelezwa kuwa Yanga imewasilisha ofa yenye lengo la kumshawishi nyota huyo kuvaa jezi ya mabingwa hao wa Ligi Kuu ya NBC katika msimu ujao.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
2h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
6h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
7h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
9h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
11h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
12h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
12h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
14h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
18h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’