inaendelea na mchakato wa kukiimarisha kikosi chake kuelekea msimu wa 2026/27, huku moja ya maeneo yanayopewa kipaumbele ikiwa ni kuongeza idadi ya wachezaji wazawa kulingana na mahitaji ya usajili.
Taarifa zinaeleza kuwa mabosi wa klabu hiyo wako kwenye mazungumzo na kiungo wa Taifa Stars, Alphonce Mabula Msanga, wakilenga kumrejesha nchini baada ya kucheza soka la kulipwa nje ya..... download Xtra 90 App



