Mshambuliaji wa kimataifa wa DR Congo, Fiston Mayele, ameanza ukurasa mpya wa maisha yake ya soka baada ya kufikia makubaliano ya kujiunga na klabu ya Al Ahli Tripoli ya Libya akitokea Pyramids FC ya Misri.
Taarifa zinaeleza kuwa kila kitu kuhusu uhamisho huo kimekamilika, huku Mayele akisaini mkataba wa miaka miwili wenye thamani ya dola milioni 5 kwa jumla. Kilichobaki ni kutangazwa..... download Xtra 90 App



