Hatma ya Tanzania Prisons ya kubaki au kushuka Ligi Kuu Tanzania Bara itajulikana leo, Julai 16, 2026, watakapowakaribisha Polisi Tanzania katika mchezo wa marudiano wa mtoano utakaochezwa Uwanja wa Sokoine, jijini Mbeya, kuanzia saa 10:00 jioni.
Tanzania Prisons wanaingia kwenye mchezo huo wakiwa na kazi ngumu baada ya kupoteza kwa mabao 4-0 katika mchezo wa kwanza. Matokeo hayo..... download Xtra 90 App



