Kocha wa Timu ya Taifa ya England, Thomas Tuchel, amethibitisha kuwa ataendelea kuinoa timu hiyo hadi fainali za Euro 2028, licha ya England kuondolewa kwenye Kombe la Dunia 2026 baada ya kufungwa mabao 2-1 na Argentina katika mchezo wa nusu fainali uliochezwa jijini Atlanta. England walikuwa wa kwanza kupata bao kupitia Anthony Gordon kabla ya Enzo Fernández na Lautaro Martínez kuigeuzia..... download Xtra 90 App



