Beki wa Arsenal na Timu ya Taifa ya Ufaransa, William Saliba, anakabiliwa na uwezekano wa kufanyiwa upasuaji baada ya kupata jeraha la mgongo katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Dunia dhidi ya Hispania, mchezo ambao Ufaransa ilipoteza kwa mabao 2-0, huku Saliba akitolewa uwanjani mapema kutokana na maumivu aliyoyapata.
Ripoti kutoka gazeti la Ufaransa, L’Équipe, zinaeleza kuwa..... download Xtra 90 App



